Ubishi - Komaa na Maisha

Ubishi - Komaa na Maisha

"Nguvu kuu ni uelewa. Uelewa wa mapito yanayojiri katika maisha kwa kuzingatia mambo ya msingi yanayotuunganisha sisi wanadamu ni dawa tosha. Usidanganyike. Kipimo cha maisha sio tu kufanikiwa. Kipimo cha maisha sio tu kushindwa. Kipimo hasa cha maisha ni uwezo wa mtu kustahimili mapambano yanayojiri kati ya kufanikiwa na kushindwa. Haitoshi kuhamasika na picha ya mafanikio ama kuogopa piclaa ya kushindwa kama hauwekezi kwenye roho ya mapambano ambayo asili yake inatokana na ujana wako ama tabia ubishi. Soma kitabu hiki upate lisheya roho ili uwezo kuimarika katika mapambano…

Life and You

Life and You

This book is an important attempt to analyze the challenges of conflict that people come up against these days. It is a new phenomenon in this part of the world (black Africa), where for so long people have felt secure in an environment of age-old tradition. This new society of brutal competition in business and politics alike provides a divergent perspective that compels us to revisit our approach to life. Magavilla makes us examine ourselves and confront what is false, so that the dilemmas of everyday living will not overwhelm us, but will enable us to assume our lives through a stability,…